Son Heung-Min akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la tatu dakika ya 55 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Southampton usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley mjini London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Harry Kane dakika ya tisa na Lucas Moura dakika ya 51, wakati la Southampton limefungwa na Charlie Austin dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ES Tunis 0-3 Chelsea: Blues reach last-16 at the Club World Cup as Liam
Delap nets first goal for new side to help set up Benfica tie
-
KIERAN GILL AT THE LINCOLN FINANCIAL FIELD: Enzo Maresca's side will now
move into the Club World Cup's last 16 where they will face Benfica in
Charlotte t...
2 hours ago
0 comments:
Post a Comment