Raul Jimenez akishangilia baada ya kuifungia Wolverhampton Wanderers bao la kwanza dakika ya 59 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Chelsea usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Molineux mjini Wolverhampton, West Midlands. Bao la pili la Wolves lilifungwa na Diogo Jota dakika ya 63, wakati la Chelsea lilifungwa na Ruben Loftus-Cheek dakika ya 18 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ES Tunis vs Chelsea - Club World Cup: Live score, team news and updates as
Enzo Maresca makes EIGHT changes after shock defeat
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as Chelsea take on Es Tunis in the Club World Cup at Lincoln Financial
Field.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment