Xherdan Shaqiri akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu dakika ya 90 na ushei ikiwalaza wenyeji, Burnley 3-1 usiku wa jana Uwanja wa Turf Moor katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na James Milner dakika ya 62 na Roberto Firmino dakika ya 69 wakati la Burnley lilifungwa na Jack Cork dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
An old-school centre half who enjoys country music, the ex-Arsenal star
thriving in Serie A and the wonderkid who loves chess... meet the England
Under 21s going for glory in Slovakia
-
NATHAN SALT IN BRATISLAVA: The Young Lions' path to the final four has not
been easy after they scraped through the group stage having picked up just
four ...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment