Jesse Lingard akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la kusawazisha dakika ya 69 katika sare ya 2-2 na Arsenal usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la kwanza Man United lilifungwa na Anthony Martial dakika ya 30, wakati mabao ya Arsenal yalifungwa na Shkodran Mustafi dakika ya 26 na Marcos Rojo aliyejifunga dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League side 'set to enter race for Oleksandr Zinchenko' as rivals
plot '£10m bid for versatile Arsenal star this summer'
-
After signing for £32million in the summer of 2022, the Ukraine
international immediately became a key figure in the Gunners title bid that
season, only to...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment