Mshambuliaji wa kimataifa wa Algeria, Riyad Mahrez akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 51 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Vicarage. Bao la kwanza la Man City lilifungwa na Leroy Sane dakika ya 40, wakati bao la kufutia machozi la Watford lilifungwa na Abdoulaye Doucoure dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
John Textor finally SELLS his Crystal Palace stake for £190m as New York
Jets owner Woody Johnson invests - in boost for Eagles' Europa League hopes
-
MIKE KEEGAN: The American businessman's Eagle Football Holdings held 43 per
cent in the south London club, which qualified for the Europa League for
the fi...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment