Bingwa wa dunia wa uzito wa juu duniani, Anthony Joshua (kushoto) akitazamana kimikwara na mpinzani wake, Andy Ruiz Jr (kulia) jana wakati wa mkutano na Waandishi wa Habari kuelekea pambano lao la Jumamosi ukumbi Madison Square Garden mjini New York, Marekani. Joshua mwenye urefu wa futi sita kwa sasa anashikilia mataji ya IBF, WBA na WBO akiwa na rekodi ya kushinda mapambano yake yote 22, 21 kwa knockout, wakati Ruiz mwenye urefu wa futi nne amepoteza pambano moja na kushinda 32, huku 21 akishinda kwa knockout pia. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mike Tirico and Cris Collinsworth send emotional tribute to NBC colleague
who fell 50ft from scoreboard in Pittsburgh
-
Over a week after a 'Sunday Night Football' colleague suffered a terrifying
fall before a game in Pittsburgh, NBC Sports' Mike Tirico and Cris
Collinsworth...
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment