Mshambuliaji Mgabon wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang akikimbia kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili timu yake dakika za 52 na 63 ikiibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya Burnley leo Uwanja wa Turf Moor na kumaliza nafasi ya nne kwa pointi zake 70, ikizidiwa moja na Tottenham Hotspur na mbili na Chelsea. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Eddie Nketiah dakika ya 90 na ushei, wakati la Burnley limefungwa na Ashley Barnes dakika ya 65 na kwa matokeo hayo Aubameyang anamaliza msimu na mabao 22 sawa na Waafrika wenzake, Mmisri Mohamed Salah na Msenegal Sadio Mane wote wa Liverpool ambao kwa pamoja ndiyo wafungaji bora wa msimu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
As Israel strikes Iran, many wonder if the US will deepen its involvement
-
As Israeli strikes kill top Iranian generals, take out air defenses and
damage nuclear sites, many wonder if President Donald Trump will deepen
U.S. involv...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment