Wachezaji wa Aston Villa wakishangilia baada ya kuifunga 2-1 Derby County usiku wa jana Uwanja wa Wembley katika mechi ya fainali ya mchujo wa kupanda wa Ligi Kuu England. Mabao ya Villa inayorejea Ligi Kuu tangu ishuke mwaka 2016 yamefungwa na Anwar El Ghazi na John McGinn huku la Derby County likifungwa na Jack Marriott PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jude Bellingham is AGAIN caught in x-rated rant at an official - just days
after Thomas Tuchel admitted his own mother is REPULSED by Real Madrid
star's on-pitch behaviour
-
Bellingham shouted at the official amid an increased focus on his sometimes
brash behaviour after England boss Thomas Tuchel admitted his mother
sometimes ...
4 minutes ago
0 comments:
Post a Comment