Mshambuliaji wa kimataifa wa Gabon, Pierre-Emerick Aubameyang akifurahia baada ya kufunga hat trick kwa mabao yake ya dakika za 11, 69 na 88 ikiwalaza wenyeji, Valencia 4-2 Uwanja wa katika mchezo wa marudiano wa UEFA Europa League. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 50 wakati ya Valencia yamefungwa na Kevin Gamiero yote dakika ya 11 na 58 na kwa matokeo hayo, The Gunners inakwenda fainali kwa ushindi wa jumla wa 7-3 baada ya kushinda 3-1 London na sasa itamenyana na Chelsea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
First Solar (FSLR) Fell by Over 12% This Week. Here is Why.
-
The share price of First Solar, Inc. (NASDAQ:FSLR) fell by 12.59% between
June 10 and June 17, 2025, putting it among the Energy Stocks that Lost the
Most ...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment