Mshambuliaji Mbrazil, Neymar akishangilia baada ya kuifungia Paris Saint-Germain bao la kwanza dakika ya 20 ikiilaza Angers 2-1 katika mchezo wa Ligue 1, Ufaransa Uwanja wa Raymond-Kopa mjini Angers. Bao la pili la PSG lilifungwa na Angel Di Maria dakika ya 58 wakati la Angers lilifungwa na Flavien Tait dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Australia not a bunch of old-timers - they're an outstanding team'
-
Australia's squad is older than England's and many are playing in their
last Ashes, but they remain an outstanding team, says Stephan Shemilt.
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment