Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akisikitika baada ya kufungwa bao la pili na Valencia katika fainali ya Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Valencia walishinda 2-1, mabao yao yakifungwa na Kevin Gameiro dakika ya 21 na Rodrigo dakika ya 33 kabla ya Messi kuifungia Barcelona bao pekee dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chicago Bears star's dad demands his son be traded before NFL deadline
-
With a few hours remaining until the NFL trade deadline, players are on
edge to see if they may be moved. One star wide receiver's father is hoping
that ha...
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment