Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akisikitika baada ya kufungwa bao la pili na Valencia katika fainali ya Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Valencia walishinda 2-1, mabao yao yakifungwa na Kevin Gameiro dakika ya 21 na Rodrigo dakika ya 33 kabla ya Messi kuifungia Barcelona bao pekee dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Storm Floris map shows where heavy rain and up to 85mph winds are set to
hit the UK
-
Yellow weather warnings for wind have been issued across most of the country
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment