Kiungo Mfaransa wa Manchester United, Paul Pogba akirejea katikati kinyonge baada ya Cardiff City kupata bao la pili katika ushindi wa 2-0, mabao yote akifunga Nathaniel Mendez-Laing dakika za 23 kwa penalti na 54 kwenye mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford. Pamoja na ushindi huo, Cardiff City imeungana na Fulham na Huddersfield Town kushuka daraja, huku Man United ikimaliza nafasi ya sita na pointi zake 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: What Tottenham star Djed Spence REALLY said to manager Thomas
Frank is uncovered by expert lip-reader in furious spat after defeat by
Chelsea
-
Spence and Micky van de Ven stole the headlines when they blanked Frank,
refusing his handshake and leaving him alone on the turf. A worrying sign,
as Oliv...
31 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment