Kiungo Mfaransa wa Manchester United, Paul Pogba akirejea katikati kinyonge baada ya Cardiff City kupata bao la pili katika ushindi wa 2-0, mabao yote akifunga Nathaniel Mendez-Laing dakika za 23 kwa penalti na 54 kwenye mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford. Pamoja na ushindi huo, Cardiff City imeungana na Fulham na Huddersfield Town kushuka daraja, huku Man United ikimaliza nafasi ya sita na pointi zake 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FCT police investigate death of woman found bound, unconscious in Gwarinpa
hotel room
-
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja The Federal Capital Territory (FCT)
Police Command has opened a full investigation into the circumstances
surrounding ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment