Nahodha Manuel Neuer akiwa ameinua Kombe la Ujerumani na wachezaji wenzake wa Bayern Munich baada ya kukabidhiwa kufuatia ushindi wa 3-0 dhidi ya RB Leipzig, mabao ya Robert Lewandowski dakika ya 29 na 85 na Kingsley Coman dakika ya 78 katika mchezo wa fainali usiku wa jana Uwanja wa Olympia mjini Berlin PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ADC says House member Leke Abejide not suspended
-
From Emmanuel Adeyemi, Lokoja The African Democratic Congress, Kogi State
chapter, has said that the Member of the House of Representatives for Yagba
Fed...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment