Wachezaji wa Ajax wakishangilia ushindi wao wa ubingwa wa Ligi ya Uholanzi baada ya kuichapa mabao 4-1 De Graafschap usiku wa jana Uwanja wa De Vijverberg mjini Doetinchem, hilo likiwa taji lao la kwanza la Eredivisie tangu 2014 hayo yakiwa matunda ya kizazi kipya cha dhahabu cha timu hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
As Israel strikes Iran, many wonder if the US will deepen its involvement
-
As Israeli strikes kill top Iranian generals, take out air defenses and
damage nuclear sites, many wonder if President Donald Trump will deepen
U.S. involv...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment