Wachezaji wa Real Madrid wakiwa kimya kwa dakika moja kutoa heshima zao za mwisho kwa kipa wa zamani wa klabu hiyo, Andres Avelino Junquera aliyefariki dunia Mei 6. Hiyo ilikuwa ni kabla ya mchezo wao wa mwisho wa La Liga jana Uwanja wa Bernabeu wakifungwa 2-0 na Real Betis, mabao ya Loren Moron na Jese PICHA ZAIDI GONGA HAPA
James McClean confirms he DID throw a punch at Cardiff fan...and reveals why
-
Wrexham star James McClean has confirmed he threw a punch at a Cardiff fan
in self-defence before last week's all-Wales encounter in the Carabao Cup.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment