Nahodha wa Manchester City, Vincent Kompany akiwa ameinua Kombe la FA baada ya ushindi wa 6-0 dhidi ya Watford leo mabao ya Raheem Sterling matatu dakika za 38, 81 na 87, David Silva dakika ya 26, Kevin De Bruyne dakika ya 61 na Gabriel Jesus dakika ya 68 kwenye mchezo wa fainali Uwanja wa Wembley mjini London hilo likiwa taji la tatu msimu huu baada ya ubingwa wa Ligi Kuu England na Kombe la Ligi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Move aside, Luiz and Lehmann! Introducing football's glamorous new POWER
couple who sparked up a romance at the same Premier League club
-
For a long time Alisha Lehmann and Douglas Luiz represented football's most
prominent power couple - but their break up has paved the way for another
duo t...
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment