Mshambuliaji wa Leicester City, Jamie Vardy akiwa hewani kupiga mpira kichwa dhidi ya wachezaji wa Chelsea katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa King Power timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Kwa sare hiyo, Chelsea inamaliza nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu na pointi zake 72, moja zaidi ya Tottenham Hotspur waliomaliza nafasi ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mike Tirico and Cris Collinsworth send emotional tribute to NBC colleague
who fell 50ft from scoreboard in Pittsburgh
-
Over a week after a 'Sunday Night Football' colleague suffered a terrifying
fall before a game in Pittsburgh, NBC Sports' Mike Tirico and Cris
Collinsworth...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment