Mshambuliaji wa Leicester City, Jamie Vardy akiwa hewani kupiga mpira kichwa dhidi ya wachezaji wa Chelsea katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa King Power timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Kwa sare hiyo, Chelsea inamaliza nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu na pointi zake 72, moja zaidi ya Tottenham Hotspur waliomaliza nafasi ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle vs Tottenham: Live score, team news and updates as Son Heung-min
waves goodbye after a decade in north London in a pre-season friendly
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as Newcastle take on Tottenham at the Seoul World Cup Stadium in a
pre-season fr...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment