Ross Barkley akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 64 kufuatia Willian kufunga la kwanza dakika ya 13 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Raundi ya Tano ya Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge, London hivyo kutinga Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
McIlroy receives 'lovely' apology from PGA boss after Ryder Cup abuse
-
Rory McIlroy and wife Erica receive an apology over the abuse they suffered
at the Ryder Cup from the boss of the PGA of America.
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment