Vinicius Junior akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la kwanza dakika ya 71 kabla ya Mariano Diaz kufunga la pili dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Barcelona usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu Jijini Madrid kwenye mchezo wa La Liga. Kwa ushindi huo, Real Madrid inarejea kileleni La Liga sasa ikiizidi pointi moja Bacelona (56-55) baada ya wote kucheza mechi 26 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pep Guardiola issues hilarious 'come on you Irons' rallying cry to West Ham
as Man City pile pressure on title rivals Arsenal by moving to within two
points
-
Pep Guardiola insisted that Manchester City will breathe down Arsenal's
neck until the very last kick of the Premier League title race after
beating Brentf...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment