Vinicius Junior akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la kwanza dakika ya 71 kabla ya Mariano Diaz kufunga la pili dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Barcelona usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu Jijini Madrid kwenye mchezo wa La Liga. Kwa ushindi huo, Real Madrid inarejea kileleni La Liga sasa ikiizidi pointi moja Bacelona (56-55) baada ya wote kucheza mechi 26 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pedri Weighs In on Ballon d’Or Favorites and Sends Strong Message on
Midfielders
-
Spanish Star Reflects on Season and Reveals Key Factor Behind His FormPedri
Weighs In on Ballon d’Or Favorites and Sends Strong Message on
MidfieldersBarce...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment