Vinicius Junior akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la kwanza dakika ya 71 kabla ya Mariano Diaz kufunga la pili dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Barcelona usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu Jijini Madrid kwenye mchezo wa La Liga. Kwa ushindi huo, Real Madrid inarejea kileleni La Liga sasa ikiizidi pointi moja Bacelona (56-55) baada ya wote kucheza mechi 26 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why memorial round for cricketer Ben Austin was suddenly postponed - after
moving tribute at scene of the tragedy
-
The planned memorial round for cricketer Ben Austin in Melbourne has been
postponed. It comes after the teenager was struck in the neck before a T20
game a...
32 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment