Vinicius Junior akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la kwanza dakika ya 71 kabla ya Mariano Diaz kufunga la pili dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Barcelona usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu Jijini Madrid kwenye mchezo wa La Liga. Kwa ushindi huo, Real Madrid inarejea kileleni La Liga sasa ikiizidi pointi moja Bacelona (56-55) baada ya wote kucheza mechi 26 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
In pictures: Modi leads record attempt as India marks International Day of
Yoga
-
People gather for events organised across the world to mark 11th
International Day of Yoga
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment