IMEWEKWA SEPTEMBA 1, 2013 SAA 2:05 USIKU
ARSENAL imewazima wapinzani wa London Kaskazini, Tottenham Hotspur kwa mabao 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Enlgand jioni hii kwenye Uwanja wa Emirates.
Bao pekee la Arsenal inayofundishwa na Mfaransa, Arsene Wener limefungwa na Olivier Giroud dakika ya 22.






ARSENAL imewazima wapinzani wa London Kaskazini, Tottenham Hotspur kwa mabao 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Enlgand jioni hii kwenye Uwanja wa Emirates.
Bao pekee la Arsenal inayofundishwa na Mfaransa, Arsene Wener limefungwa na Olivier Giroud dakika ya 22.
Kijana wa London: Olivier Giroud ameifungia bao pekee Asrenal leo Emirates
Olivier Giroud akishanilia baada ya kufunga
Arsene Wenger amekuwa akishambuliwa kwa ubakhili katika suala la usajili majira haya joto, wakati Andre Villas Boas na timu yake, Tottenham wametumia mamilioni kusajili wakijiandaa kumuuza Gareth Bale.
Kikosi cha Arsenal kilikuwa: Szczesny, Jenkinson, Koscielny, Mertesacker, Gibbs, Ramsey, Wilshere/Flamini dk43, Rosicky/Monreal dk78, Walcott/Sagna dk90, Cazorla na Giroud.
Tottenham: Lloris, Walker, Dawson, Verthongen, Rose, Capoue/Sandro dk74, Paulinho, Dembele/Defoe dk68, Townsend/Lamela dk74, Chadli na Soldado.
Kikosi cha Arsenal kilikuwa: Szczesny, Jenkinson, Koscielny, Mertesacker, Gibbs, Ramsey, Wilshere/Flamini dk43, Rosicky/Monreal dk78, Walcott/Sagna dk90, Cazorla na Giroud.
Tottenham: Lloris, Walker, Dawson, Verthongen, Rose, Capoue/Sandro dk74, Paulinho, Dembele/Defoe dk68, Townsend/Lamela dk74, Chadli na Soldado.
Hatari: Andros Townsend (kushoto) alitamba kipindi cha kwanza
Wasiwasi: Mathieu Flamini alichukua naafasi ya Jack Wilshere
Olivier Giroud alivyofuna bao tamu Emirates, angalia zaidi yaliyojiri uwanjani leo kwa kugonga hapa
Jamaa alikuwepo: David Beckham akiwa jukwaani na wanawe na shabiki wa Arsenal, Romeo
Anawaka: Andre Villas Boas akizungumza na wachezaji wake
Shughuli: Etienne Capoue (kushoto) akirusha buti mbele ya Giroud
Amepagawa: Daniel Levy (kushoto) na Franco Baldini amekuwa na wakati mzuri katika dirisha la usajili, lakini bado haijaanza kulipa uwanjani