• HABARI MPYA

    Friday, March 20, 2015

    FAINALI KOMBE LA DUNIA 2022 KUFANYIKA DESEMBA 18

    FIFA imethibitisha Fainali ya Kombe la Dunia mwaka 2022 nchini Qatar itachezwa Jumapili ya Desemba 18.
    Kombe la Dunia litafikia kilele chake wiki moja kabla ya Krisimasi - uamuzi ambao utaruhusu utamaduni wa mechi za Boxing Day kuendelea kwa kuchewa siku hiyo.
    Rais wa UEFA, Michel Platini amesema uamuzi huo umekubaliwa - lakini ameionya FIFA kwamba lazima ilinde tarehe za mechi za kimataifa ambao unaweza kuvurugwa.
    FIFA on Thursday confirmed the 2022 World Cup final in Qatar will take place on December 18
    FIFA jana imethibitisha Fainali ya Kombe la Dunia mwaka 2022 nchini Qatar itafanyika Desemba 18
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: FAINALI KOMBE LA DUNIA 2022 KUFANYIKA DESEMBA 18 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top