![]() |
Mamia wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa marehemu Ramadhani Masanja 'Banza Stone' mwanamuziki maarufu nchini aliyefariki jana nyumbani kwao, Sinza, Dar es Salaam. Picha na Saluti5.com |
![]() |
Eneo la makaburi ya Sinza, Dar es Salaam wakati wa mazishi ya Banza |
![]() |
Adolph Mbinga (kushoto) na Deo Mwanambilimbi (kulia) waliasisi kwa pamoja na Banza bendi ya African Stars 'Twanga Pepeta' |
0 comments:
Post a Comment