Winga wa Argentina, Angel Di Maria akimtoka beki wa Chile, Gary Medel katika mchezo wa Copa America usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Levi mjini Santa Maria, Marekani. Argentina iliyocheza bila nyota wake, Lionel Messi, imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Angel di Maria na Ever Banega, wakati la Chile limefungwa na Jose Fuenzalida PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Raiders quarterback Geno Smith hurt as Las Vegas season hits new low in
dire Denver Broncos loss
-
The Raiders' season hit a new low on Thursday night as quarterback Geno
Smith got hurt and the team lost 10-7 to the Broncos.
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment