Mshambuliaji Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia mabao yote mawili dakika za 57 na 61 Ufaransa ikishinda 2-1 dhidi ya Jamhuri ya Ireland katika mchezo wa hatua ya 16 Bora Euro 2016 jioni ya leo Uwanja wa Parc Olympique Lyonnais mjini Decines-Charpieu. Ireland ilitangulia kwa bao la Robbie Brady dakika ya pili tu ya mchezo na Ufaransa inakwenda Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle vs Tottenham: Live score, team news and updates as Son Heung-min
waves goodbye after a decade in north London in a pre-season friendly
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as Newcastle take on Tottenham at the Seoul World Cup Stadium in a
pre-season fr...
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment