Mshambuliaji Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia mabao yote mawili dakika za 57 na 61 Ufaransa ikishinda 2-1 dhidi ya Jamhuri ya Ireland katika mchezo wa hatua ya 16 Bora Euro 2016 jioni ya leo Uwanja wa Parc Olympique Lyonnais mjini Decines-Charpieu. Ireland ilitangulia kwa bao la Robbie Brady dakika ya pili tu ya mchezo na Ufaransa inakwenda Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League footballer in his 20s 'threatened with gun on busy London
street by top agent who works for England international'
-
A Premier League star was reportedly threatened with a gun by an agent,
with the individual subsequently arrested by police.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment