Mshambuliaji Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia mabao yote mawili dakika za 57 na 61 Ufaransa ikishinda 2-1 dhidi ya Jamhuri ya Ireland katika mchezo wa hatua ya 16 Bora Euro 2016 jioni ya leo Uwanja wa Parc Olympique Lyonnais mjini Decines-Charpieu. Ireland ilitangulia kwa bao la Robbie Brady dakika ya pili tu ya mchezo na Ufaransa inakwenda Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kelly Oubre Jr. scores 29 points as 76ers defeat Nets 129-105
-
NEW YORK (AP) — Kelly Oubre Jr. scored 29 points, Tyrese Maxey had 26, and
the Philadelphia 76ers defeated the Brooklyn Nets 129-105 on Sunday night.
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment