Nyota wa Argentina, Lionel Messi akiifungia timu yake kwa shuti la mpira wa adhabu kutoka umbali wa mita 25 kuipatia bao la pili katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa Nusu Fainali Copa America dhidi ya wenyeji, Marekani asubuhi hii Uwanja wa NRG mjini Houston, Texas hilo likiwa bao lake la 55 kwa timu ya taifa na kuweka rekodi ya mchezaji aliyeifungia mabao mengi zaidi nchi yake. Mabao mengine ya Argentina yamefungwa na Ezequiel Lavezzi na Gonzalo Higuain mawili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
India beat South Africa for historic first World Cup win
-
Shafali Verma scores 87 and Deepti Sharma takes five wickets as India make
history, beating South Africa by 52 runs for their first World Cup title in
Navi...
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment