Kipa wa Chile, Claudio Bravo akiinua Kombe la Copa America Centenario baada ya kulitwaa usiku wa kuamkia leo kwa kuifunga Argentina kwa penalti 4-2 kufuatia sare ya 0-0 ndani ya dakika 120 Uwanja wa MetLife, East Rutherford mjini New Jersey, Marekani. Mwanasoka bora wa dunia, Lionel Messi alikosa penalti ya kwanza ya Argentina sawa na Lucas Biglia aliyekosa ya nne. Waliofunga penalti za Argentina ni Javier Mascherano na Sergio Aguero wakati za Chile zilifungwa na N. Castillo, C. Aránguiz, J. BeausejourF. Silva huku A. Vidal akikosa ya kwanza tena PICHA ZAIDI GONGA HAPA
India beat South Africa for historic first World Cup win
-
Shafali Verma scores 87 and Deepti Sharma takes five wickets as India make
history, beating South Africa by 52 runs for their first World Cup title in
Navi...
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment