Beki wa kati wa Juventus, Giorgio Chiellini (katikati) akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Italia bao la kwanza dakika ya 33 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya mabingwa watetezi, Hispania kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Euro 2016 Uwanja wa Stade de France mjini Paris, Ufaransa. Bao la pili lilifungwa na Graziano Pelle dakika ya 90 na ushei na sasa Italia itamenyana na mabingwa wa dunia, Ujerumani katika Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
If you reckon Aussie parking is expensive, wait until you see the INSANE
bill footy great Quade Cooper copped for leaving his car in a garage in
Japan
-
Quade Cooper has joked that he might have to 'take out a loan' after the
Wallabies legend revealed that he had accidentally left his car in a public
car pa...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment