Beki wa kati wa Juventus, Giorgio Chiellini (katikati) akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Italia bao la kwanza dakika ya 33 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya mabingwa watetezi, Hispania kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Euro 2016 Uwanja wa Stade de France mjini Paris, Ufaransa. Bao la pili lilifungwa na Graziano Pelle dakika ya 90 na ushei na sasa Italia itamenyana na mabingwa wa dunia, Ujerumani katika Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Oilers star Evander Kane slammed for 'dirty and classless' move after
losing to Panthers in Stanley Cup Finals
-
Nobody is quite sure when hockey's handshake line was born. The practice is
believed to be over a century old, but whenever it started, Edmonton Oilers
sta...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment