Wachezaji wa Chile wakishangilia ushindi wao wa 2-0 dhidi ya Colombia katika Nusu Fainali ya michuano ya Copa America Alfajiri ya leo Uwanja wa Soldier Field mjini Chicago, Illinois, Marekani kwa mabao ya Charles Aranguiz na Jose Pedro Fuenzalida. Chile ambao ndiyo mabingwa watetezi, sasa watamenyana na Argentina katika fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ADC says House member Leke Abejide not suspended
-
From Emmanuel Adeyemi, Lokoja The African Democratic Congress, Kogi State
chapter, has said that the Member of the House of Representatives for Yagba
Fed...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment