Wachezaji wa Chile wakishangilia ushindi wao wa 2-0 dhidi ya Colombia katika Nusu Fainali ya michuano ya Copa America Alfajiri ya leo Uwanja wa Soldier Field mjini Chicago, Illinois, Marekani kwa mabao ya Charles Aranguiz na Jose Pedro Fuenzalida. Chile ambao ndiyo mabingwa watetezi, sasa watamenyana na Argentina katika fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pope, Bumrah, Bashir - how England v India will be won and lost
-
BBC Sport and data analysts CricViz look at the key battles that could
decide the outcome of the England v India Test series.
59 minutes ago
0 comments:
Post a Comment