Beki Jerome Boateng akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Ujerumani bao la kwanza katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Slovakia kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora ya Euro 2016 usiku leo Uwanja wa Stade Pierre-Mauroy mjini Villeneuve d'Ascq, Ufaransa. Mabao mengine ya Ujerumani yamefungwa na Mario Gomez na Julian Draxler wakati Mesut ozil alikosa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle vs Tottenham: Live score, team news and updates as Son Heung-min
waves goodbye after a decade in north London in a pre-season friendly
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as Newcastle take on Tottenham at the Seoul World Cup Stadium in a
pre-season fr...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment