Beki Jerome Boateng akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Ujerumani bao la kwanza katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Slovakia kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora ya Euro 2016 usiku leo Uwanja wa Stade Pierre-Mauroy mjini Villeneuve d'Ascq, Ufaransa. Mabao mengine ya Ujerumani yamefungwa na Mario Gomez na Julian Draxler wakati Mesut ozil alikosa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League footballer in his 20s 'threatened with gun on busy London
street by top agent who works for England international'
-
A Premier League star was reportedly threatened with a gun by an agent,
with the individual subsequently arrested by police.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment