Wachezaji wa Tukuyu Stars ya Mbeya kutoka kushoto, Mohamed Kassanda, Raphael Mapunda na Kanza Mrisho wakiwa Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya mwaka 1987 kabla ya moja ya mechi zao za Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara. Tukuyu ilikuwa bingwa mwaka 1986 na baada ya msimu nyota wake wakachukuliwa na Yanga na Simba nayo ikashuka daraja mwaka 1987
Premier League footballer in his 20s 'threatened with gun on busy London
street by top agent who works for England international'
-
A Premier League star was reportedly threatened with a gun by an agent,
with the individual subsequently arrested by police.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment