Xherdan Shaqiri akibinuka tik tak kuisawazishia Uswisi katika sare ya 1-1 na Polanda kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Euro 2016 Uwanja wa Geoffroy-Guichard mjini Saint-Etienne, Ufaransa. Bao la kutangulia la Poland iliyoshinda kwa penalti 5-4 baadaye, limefungwa na Jakub Blaszczykowski. Poland sasa itacheza na mshindi kati ya Croatia na Ureno katika Robo Fainali Alhamisi Uwanja wa Stade Velodrome mjini Marseille PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL star Deebo Samuel left fuming after interviewer spills secret live on
air in painful exchange
-
NFL Network's Garafolo was left red-faced at the end of an interview with
Samuel on 'Inside Training Camp Live' earlier this week. 'Alright, edit
that part...
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment