Mchezaji wa Croatia, Ivan Perisic akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi dakika za lala salama ikiilaza 2-1 Hispania katika mchezo wa Kundi D Euro 2016 Uwanja wa Matmut-Atlantique mjini Bordeaux, Ufaransa. Hispania ilitangulia kwa bao la Alvaro Morata, kabla ya Nikola Kalinic kuisawazishia Croatia. Kwa matokeo hayo, Croatia inamaliza kileleni mwa kundi hilo kwa pointi zake saba, ikifuatiwa na Hispania iliyomaliza na pointi sita ambayo sasa inaweza kukutana na Italia katika hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: The financial sacrifices Jack Grealish has made to push through
loan move to Everton from Man City... with England star going 'above and
beyond'
-
Grealish underwent his Everton medical on Sunday, ahead of signing on
Monday, eager to put himself in contention to face Leeds United in the
club's Premier...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment