Nyota wa Wales, Gareth Bale akishangilia baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Urusi kwenye mchezo wa Kundi B Euro 2016 usiku huu Uwanja wa Manispaa mjini Toulouse, Ufaransa. Mabao mengine ya Wales yamefungwa na Aaron Ramsey na Neil Taylor na sasa wanakwenda hatua ya 16 Bora kama vinara wa kundi hilo kwa pointi zao sita, moja zaidi ya England waliomaliza nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Man United to open mega pop-up PUB at Old Trafford which can hold
over a THOUSAND fans - and it will be open on time for the first game of
the season against Arsenal!
-
MIKE KEEGAN: Officials will unveil vast, 900 square metre-marquee behind
the Stretford End in time for their first match of the season on Sunday
against Ar...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment