Mshmbuliaji wa Ndanda FC, Riffat Khamis wa pili kushoto akikabidhiwa mfano wa hundi ya Sh. Milioni 1 na wadhamini wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kampuni ya Vodacom Tanzania baada ya kuwa Mchezaji Bora wa ligi hiyo kwa mwezi Oktoba. Riffat alipewa tuzo hiyo kabla ya mchezo dhidi ya Simba leo Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara, ambao Ndanda walifungwa 2-0
🚨 Bizarre situation, Le Mans's promotion to Ligue 1 isn't official!
-
Total confusion on the final day of Ligue 2.After more than 40 minutes of
silence, the referee officially announced that the match between Bastia and
Le Ma...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment