Lionel Messi akimchambua kipa wa Eibar kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 50 katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Manispaa ya Ipura. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Denis Suarez dakika ya 31, Luis Suarez dakika ya 68 na Neymar Junior dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Abuja authorities dismantle criminal hideout, seize 20 vehicles
-
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja In a sweeping operation targeting
illegal settlements in the heart of Abuja, the city’s Development Control
Department...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment