Alexis Sanchez (kulia) akimkimbilia Arturo Vidal kumpongeza baada ya kuifungia Chile bao la kwanza dakika ya 81 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Cameroon kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara usiku huu Uwanja wa Otkrytiye Arena mjini Moscow, Urusi. Sanchez ndiye aliyetoa krosi ya bao hilo na akaseti na la pili pia lililofungwa na Eduardo Vargas dakika ya 90 na ushei baada ya kutokea benchi dakika ya 58 kuchukua nafasi ya Edson Puch PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why memorial round for cricketer Ben Austin was suddenly postponed - after
moving tribute at scene of the tragedy
-
The planned memorial round for cricketer Ben Austin in Melbourne has been
postponed. It comes after the teenager was struck in the neck before a T20
game a...
46 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment