Ricardo Quaresma akishangilia na Cristiano Ronaldo aliyemsetia nafasi ya kuifungia Ureno bao la kwanza dakika ya 34 katika sare ya 2-2 na Mexico kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara usiku huu Uwanja wa Kazan Arena mjini Kazan, Urusi. Bao la pili la Ureno lilifungwa na Cedric Soares dakika ya 86, wakati mabao ya Mexico yamefungwa na Javier Hernandez 'Chicharito' dakika ya 42 na Hector Moreno dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kieran Foran's final footy game - as NRL legend prepares for his next
challenge as an assistant coach with the Manly Sea Eagles
-
Kieran Foran will sign off with one of rugby league's most deserved
farewells on Sunday night - and 15 hours later begin life as an NRL
assistant coach wit...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment