Bondia Floyd Mayweather akifanya mazoezi ya wazi nje ya gym yake ya Mayweather Boxing Club kuonyesha namna alivyo tayari kwa pambano la 50 katika historia yake ya ngumi akiwa ameshinda yote 49 ya awali. Mmarekani huyo atapambana na mbabe wa UFC Conor McGregor Agosti 26, mwaka huu ukumbi wa T-Mobile Arena mjini Las Vegas PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'He weighed 94kg and partied every night!': Ex-Real Madrid boss Fabio
Capello lifts lid on axing Brazilian legend Ronaldo
-
Former Real Madrid boss, Fabio Capello, has spoken about how Ronaldo
ballooned in weight before he ditched the Brazilian legend at Real Madrid.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment