Roberto Firmino akiifungia bao la kwanza Liverpool dakika ya 52 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Swansea City usiku wa Jumanne Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Firmino alifunga pia dakika ya 66, wakati mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Philippe Coutinho dakika ya sita, Trent Alexander-Arnold dakika ya 65 na Alex Oxlade-Chamberlain dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ekiti PDP: No weak candidate for 2026 guber race
-
From Priscilla Ediare, Ado-Ekiti As the race for the 2026 governorship
election gathers momentum in Ekiti State, the Peoples Democratic Party
(PDP) has s...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment