Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia (kushoto) akitazama simu yake pembeni ya makamu wake, Michael Wambura wakati wa mkutano na Wahariri wa vyombo vya Habari leo hoteli ya SeaScape, Kunduchi, Dar es Salaam
Kaimu Katibu Mkuu wa TFF, Wilfred Kidau (kushoto) akifuatilia mkutano. Kulia Mwenyekiti wa Chama cha Soka Dar es Salaam (DRFA)
Wallace Karia (kulia) akiwa na Ofisa wa Macron wakati wa kusaini mkataba wa udhamini wa jezi za timu za taifa
Kulikuwa na sala maalum ya kumuombea kocha wa zamani wa timu ya taifa, Joel Bendera aliyefariki dunia mapema mwezi huu
Waandishi wa Habari wakifuatilia jambo katika mkutano huo
Wahariri wa Vyombo vya Habari katika picha ya pamoja na viongozi wa TFF
Travis Kelce goads Bills fans as he walks into locker room hurt from a
massive hit by rival
-
The Kansas City Chiefs tight end left the field a few seconds before his
teammates and the halftime interval on Sunday, having taken a brutal hit to
the ch...
18 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment