Kiungo Willian Borges da Silva akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 13 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya AFC Bournemouth usiku wa Jumatano Uwanja wa Stamford Bridge, London kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup. Bao la pili la Chelsea lilifungwa na Álvaro Morata dakika ya 90 na ushei, baada ya kiungo Dan Gosling kuisawazishia Bournemouth dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why Liverpool don't need Alexander Isak, 16-year-old is ready for
first-team NOW - and young star must leave: THINGS WE LEARNED from
Liverpool's double-header with Athletic Bilbao
-
Liverpool rounded off pre-season in style with a 7-3 aggregate win across
two games against Athletic Club at Anfield. Our reporter NATHAN SALT came
up with...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment