Kiungo Willian Borges da Silva akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 13 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya AFC Bournemouth usiku wa Jumatano Uwanja wa Stamford Bridge, London kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup. Bao la pili la Chelsea lilifungwa na Álvaro Morata dakika ya 90 na ushei, baada ya kiungo Dan Gosling kuisawazishia Bournemouth dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Patrick Mahomes wipes out cameraman with pass Travis Kelce failed to catch
in Chiefs' loss to Bills
-
An errant throw from Patrick Mahomes during Sunday's loss to the Buffalo
Bills bounced into a cameraman squatting in the end zone, and the result
was under...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment