Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akifanya mazoezi kikamilifu na timu yake jana baada ya kufanya peke yake mazoezi mepesi Jumatano na Alhamisi kutokana na maumivu aliyoyapata kwenye fainali ya Klabu Bingwa ya Dunia wakiifunga 1-0 Gremio mjini Abu Dhabi wiki iliyopita. Ronaldo sasa anatarajiwa kucheza dhidi ya Barcelona leo jiioni Uwanja wa Santiago Bernabeu katika mchezo wa La Liga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: What Tottenham star Djed Spence REALLY said to manager Thomas
Frank is uncovered by expert lip-reader in furious spat after defeat by
Chelsea
-
Spence and Micky van de Ven stole the headlines when they blanked Frank,
refusing his handshake and leaving him alone on the turf. A worrying sign,
as Oliv...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment