Sergio Aguero akiifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 27 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya AFC Bournemouth leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Aguero alifunga na la tatu dakika ya 79 na kufikisha mabao 100 katika timu hiyo wakati mabao mengine yalifungwa na Raheem Sterling dakika ya 53 na Danilo dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ekiti PDP: No weak candidate for 2026 guber race
-
From Priscilla Ediare, Ado-Ekiti As the race for the 2026 governorship
election gathers momentum in Ekiti State, the Peoples Democratic Party
(PDP) has s...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment