Alexis Sanchez (kushoto) akishangilia na Laurent Koscielny baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika za 62 na 66 na kuiwezesha kushinda 3-2 dhidi ya wenyeji, Crystal Palace usiku wa jana Uwanja wa Selhurst Park mjini London. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Shkodran Mustafi dakika ya 25 wakati ya Palace yalifungwa na Andros Townsend dakika ya 49 na James Tomkins dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Google agrees to curb power use for AI data centers to ease strain on US
grid when demand surges
-
NEW YORK, August 4 (Reuters) -Google has signed agreements with two U.S.
electric utilities to reduce its AI data center power consumption during
times of ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment