Lionel Messi akipiga ngumi hewani Uwanja wa Santiago Bernabeu baada ya kuifungia Barcelona bao la pili dakika ya 64 kwa penalti kufuatia Dani Carjaval kuuzuia kwa mkono mpira uliopigwa na Paulinho kwenye boksi katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Real Madrid kwenye mchezo wa La liga leo. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Luis Suarez dakika ya 54 na Aleix Vidal dakika ya 90 na ushei. Real Madrid ilimaliza pungufu baada ya Dani Carjaval kutolewa kadi nyekundu dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Why the AFL doesn't want you to know who this mystery man is
-
The top brass at AFL headquarters won't be impressed after the reason for
the man's presence at several games was revealed on TV on Monday night.
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment