Kipa wa Green Warriors, Shaaban Dihile akitembea kibabe jana wakati wa mchezo wa hatua ya 64 Bora ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam dhidi ya waliokuwa mabingwa watetezi, Simba SC. Dihile alidaka kwa ustadi mkubwa ndani ya dakika 90 timu hizo zikitoka sare ya 1-1 tena Simba wakisawazisha kwa penalti kipindi cha pili kabla ya Warriors ya Daraja la Pili kwenda kushinda kwa penalti 4-3 na kuwavua ubingwa Wekundu wa Msimbazi 
Jake Paul's fight with Gervonta 'Tank' Davis cancelled amid domestic 
violence lawsuit
                      -
                    
Paul's 'Most Valuable Promotions' confirmed on Monday night that they are 
instead planning for the YouTuber-turned-boxer to headline another event on 
Nextf...
16 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment