Kipa wa Green Warriors, Shaaban Dihile akitembea kibabe jana wakati wa mchezo wa hatua ya 64 Bora ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam dhidi ya waliokuwa mabingwa watetezi, Simba SC. Dihile alidaka kwa ustadi mkubwa ndani ya dakika 90 timu hizo zikitoka sare ya 1-1 tena Simba wakisawazisha kwa penalti kipindi cha pili kabla ya Warriors ya Daraja la Pili kwenda kushinda kwa penalti 4-3 na kuwavua ubingwa Wekundu wa Msimbazi
Pregnant wife of ex-NBA star who was attacked by a SHARK breaks her silence
as she shares horrifying details of 'the worst day of my life'
-
Eleonora revealed that she was forced to undergo surgery following the bite
but assured fans on social media that both her and her baby are OK.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment