Roberto Firmino akiifungia bao la kusawazisha Liverpool dakika ya 71 ikitoa sare ya 3-3 na wenyejin Arsenal Uwanja wa Emirates usiku wa Ijumaa katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Liverpool walianza vizuri na kuongoza kwa mabao 2-0 ya Philippe Coutinho dakika ya 26 na Mohamed Salah dakika ya 52, kabla ya Arsenal kutoka nyuma na kuongoza kwa 3-2 kwa mabao ya Alexis Sanchez dakika ya 53, Granit Xhaka dakika ya 56 na Mesut Ozil dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jude Bellingham is AGAIN caught in x-rated rant at an official - just days
after Thomas Tuchel admitted his own mother is REPULSED by Real Madrid
star's on-pitch behaviour
-
Bellingham shouted at the official amid an increased focus on his sometimes
brash behaviour after England boss Thomas Tuchel admitted his mother
sometimes ...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment