Willian akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la nne kwa penalti dakika ya 73 baada ya yeye mwenyewe kuangushwa na Geoff Cameron katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Stoke City leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya The Blues yamefungwa na Antonio Rudiger dakika ya tatu, Danny Drinkwater dakika ya tisa, Pedro dakika ya 23 na Davide Zappacosta dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England may play two games away from Wembley at Euro 2028
-
Euro 2028 co-hosts England face playing one group match and a possible
last-16 game away from Wembley.
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment