Willian akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la nne kwa penalti dakika ya 73 baada ya yeye mwenyewe kuangushwa na Geoff Cameron katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Stoke City leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya The Blues yamefungwa na Antonio Rudiger dakika ya tatu, Danny Drinkwater dakika ya tisa, Pedro dakika ya 23 na Davide Zappacosta dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
Tyler Tejada scores 24 as Towson defeats Loyola Maryland 67-56 in opener
                      -
                    
BALTIMORE (AP) — Tyler Tejada's 24 points helped Towson defeat Loyola 
Maryland 67-56 on Monday night in a season opener.
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment