Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao pekee la ushindi dakika ya 30 akimalizia pasi ya Kevin De Bruyne wakiichapa 1-0 Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa St. James' Park na huo unakuwa mchezo wa 18 mfululizo timu ya Pep Guardiola inashinda katika Ligi Kuu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Why the AFL doesn't want you to know who this mystery man is
-
The top brass at AFL headquarters won't be impressed after the reason for
the man's presence at several games was revealed on TV on Monday night.
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment