Refa Mike Dean akipuuza malalamiko ya beki Mholanzi wa Manchester United, Daley Blind usiku wa Jumatano katika mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Ligi England dhidi ya wenyeji, timu ya Daraja la Kwanza, Bristol City Uwanja wa Ashton Gate. Bristol imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Joe Bryan dakika ya 51 na Korey Smith dakika ya 90 na ushei, wakati la United lilifungwa na Zlatan Ibrahimovic dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kwande leaders endorse Tinubu for 2027, applaud Akume’s developmental
strides
-
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja A high-powered delegation from Kwande
Local Government Area (LGA) of Benue State has declared unwavering support
for P...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment